Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Yepi Yanayopendekezeka Kwa I’tikaaf?

Yepi Yanayopendekezeka Kwa I’tikaaf?

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

Yanayopendekeza kwake ni mtu kujishughulisha na utiifu kwa Allaah (‘Azza wa Jalla) katika kusoma Qur-aan, na dhikru-Allaah, na Swalaah na kadhaalika, na wala asipoteze muda wake katika yasiyokuwa na faida humo.’


[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/175)]



http://bit.ly/2Hqp4x6 i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...