Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

I’tikaaf Inaanza Lini?

I’tikaaf Inaanza Lini?

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

‘Ulamaa wote wamekubaliana kwamba I’tikaaf inaanza usiku wa (kuamkia tarehe) ishirini na moja, na si Alfajiri ya ishirini na moja.  


[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/160)]


http://bit.ly/2Q93T5r i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...