I’tikaaf Inaanza Lini?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
‘Ulamaa wote wamekubaliana kwamba I’tikaaf inaanza usiku wa (kuamkia tarehe) ishirini na moja, na si Alfajiri ya ishirini na moja.
[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/160)]
http://bit.ly/2Q93T5r i live islam
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni