Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?

Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

Anatoka Mu’takif kutoka katika I’tikaaf yake inapomalizika Ramadhwaan, na Ramadhwaan humalizika kwa kuzama jua usiku wa ‘Iyd. 


[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/170)]


http://bit.ly/2w7FkMY i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...