Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?
Mwanamke akitaka kutekeleza I’tikaaf, basi iwe katika Msikiti ambao hauna tahadharisho la ki-shariy’ah lakini ikiwa kuna tahadharisho la ki-shariy’ah basi asifanye I’tikaaf humo.
[Majmuw’ Al-Faataawaa (20/163)]
http://bit.ly/2Qc4Vxo i live islam
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni