Swali: Mama yangu ananiamrisha kuzinyoa ndevu zangu ili baadaye zimee kwa wingi. Je, inafaa kumtii katika hilo?
Jibu: Hapana, asimtii katika hilo. Hii ni dhambi na mama yake ni mjinga. Asimtii katika hili. Aziache ndevu kama alivyoziumba Allaah na wala asiziguse eti ili ziwe nyingi. Aridhie yale aliyomwandikia Allaah.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2WKwsc4
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni