Translate

Jumatatu, 13 Mei 2019

Mwanakamati wa kitengo cha Da´wah ambaye hakusoma

Swali: Inafaa kwa mzungu ambaye hakusoma chini ya wanachuoni na wala hatambuliki kuwa na elimu awe mmoja wa wanakamati wa Da´wah ya Kiislamu?

Jibu: Kamati jambo lake ni jepesi. Hata hivyo asifundishe na wala asitoe fatwa midhali hakusoma chini ya wanachuoni.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2E6qgnr
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...