Translate

Jumapili, 12 Mei 2019

Ni ipi ya mfungaji kujitia baridi kidogo?

Swali 425: Ni ipi ya mfungaji kujitia baridi kidogo?

Jibu: Mfungaji kujiweka baridi ni jambo linalofaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akijimwagia maji kichwani mwake kwa sababu ya joto kali au kwa sababu ya kiu ilihali amefunga[1]. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) alikuwa akiilowesha nguo yake kwa maji ilihali amefunga kwa ajili ya kupunguza ukali wa joto au kiu. Unyevunyevu hauathiri. Kwani maji hayafiki tumboni.

[1] Abu Daawuud (2365).



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2JFwdLH
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...