Translate

Jumapili, 12 Mei 2019

Matabano kwenye gari

Swali: Ni ipi hukumu ya kuyasomea maji kwa ajili ya kuyaoshea gari ili kuondosha kijicho?

Jibu: Simjui msingi wowote juu ya hili. Kitendo hichi ni Bid´ah. Anayesomewa ni mgonjwa kisha anapuliziwa.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2VQxLsL
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...