Swali: Ni ipi hukumu ya kuyasomea maji kwa ajili ya kuyaoshea gari ili kuondosha kijicho?
Jibu: Simjui msingi wowote juu ya hili. Kitendo hichi ni Bid´ah. Anayesomewa ni mgonjwa kisha anapuliziwa.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2VQxLsL
via IFTTT
Swali: Ni ipi hukumu ya kuyasomea maji kwa ajili ya kuyaoshea gari ili kuondosha kijicho?
Jibu: Simjui msingi wowote juu ya hili. Kitendo hichi ni Bid´ah. Anayesomewa ni mgonjwa kisha anapuliziwa.
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni