Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

Je, Inajuzu Kwa Mu’takif Amtembelee Mgonjwa? Au Inamuajibikia Kufanya Da’wah?

Sunnah ni kwamba asitembelee mgonjwa wakati akiwa katika I’tikaaf, wala haiwajibiki da’wah wala kuwakidhia haja ahli zake wala kuhudhuruia janaazah, wala asitoke nje ya Msikiti kwa ajili ya kwenda kazini kwake.


[Al-Lajnah Ad-Daaimah (10/410)]


http://bit.ly/2HpLUVt i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...