Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Hukmu Ya Mu’takif Kutoka Kwa Ajili Ya Kwenda Kutekeleza ‘Umrah?

Nini Hukmu Ya Mu’takif Kutoka Kwa Ajili Ya Kwenda Kutekeleza ‘Umrah?

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

  1. Ikiwa I’tikaaf yake ameiwekea nadhiri kwa wakati maalumu basi inamlazimika kuikamilisha, kwa sababu kutimiza nadhiri ni katika utiifu na jambo la kulazimika.

  1. Na ikiwa ni ya kujitolea tu basi akitaka ataikamilisha na akitaka ataikata aende ‘Umrah. 


[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/446)]


http://bit.ly/2YtUjNw i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...