Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Imaam Kutoa Mawaidha Baina Ya Swalaah Za Taraawiyh

SWALI

Je, inajuzu kwa Imaam wa Masjid ambaye anaswalisha watu katika Tarawiyh kuwakumbusha watu wakati wa mapumziko na kuzungumzia juu ya Swalaah na juu ya kumfuata Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na kuwaonya baadhi ya watu wa bid’ah na washirkina?


JIBU

Yote ni sawa.

Ikiwa kama ni tukio limetokea, ni waajib kufanya hivyo.
Ikiwa ni ada (Imaam) kuonya watu kila baada Raka’ah na mfano wake, hii ni kinyume na Manhaj ya Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).


[Silsilatul-Hudaa Wan-Nuwr (656)]


http://bit.ly/2JOj5DK i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...