Swali: Katika hafla za karama ya ndoa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa wanawake kupiga dufu. Je, wakati wanawake wanafanya hivo imewekwa katika Shari´ah kwa wao kucheza?
Jibu: Ndio. Wacheze na kupiga dufu. Yote mawili ni Sunnah.
http://bit.ly/2YtFOJu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni