Translate

Alhamisi, 16 Mei 2019

Yote mawili ni Sunnah

Swali: Katika hafla za karama ya ndoa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa wanawake kupiga dufu. Je, wakati wanawake wanafanya hivo imewekwa katika Shari´ah kwa wao kucheza?

Jibu: Ndio. Wacheze na kupiga dufu. Yote mawili ni Sunnah.



http://bit.ly/2YtFOJu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...