Translate

Jumatano, 15 Mei 2019

Haijuzu kusherekea kuzaliwa kwa Mtume wala kuzaliwa kwa mwengine yeyote

Swali: Je, imethibiti kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alizaliwa tarehe 12 Rabiy´ al-Awwaal? Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake?

Jibu: Haijuzu kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake. Alizaliwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rabiy´ al-Awwaal. Lakini haifai kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake. Hii ni Bid´ah. Kila Bid´ah ni upotevu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Tahadharini na mambo yaliyozuliwa. Kwani hakika kilichozuliwa ni Bid´ah, kila Bid´ah ni upotevu na kila Bid´ah ni Motoni.”

Haijuzu kusherekea kuzaliwa kwa Mtume wala kuzaliwa kwa mwengine yeyote.

Usile chakula kilichotengenezwa kwa ajili ya maulidi. Chakula kilichotengenezwa kwa mnasaba wa maulidi usikile.



http://bit.ly/2W79jTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...