Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Bid’ah Za Ramadhwaan: Kumdhukuru Allaah Kila Baada Ya Rakaa Za Taraawiyh

Adkhaar au kumswalia Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwa pamoja baada ya kila Swalaah ya fardhi au Naafilah (Sunnah ya ziada) au baina ya Rakaa za Taraawiyh ni bid’ah ya kuzushwa na imethibiti kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwamba amesema:

((Atakayezusha katika jambo letu hili (Dini yetu) ambalo halimo basi litarudishwa))


[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah(2529)]



http://bit.ly/2JW3jaj i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...