Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh
Ndugu zangu katika Imaani, Katika Group zetu za WhatssApp huwa tunafanya Khayrat mbalimbali za Dini kama vile Kusambaza Juzuu na Misahafu, Kujenga Madrasa na Misikiti, Kusomesha na Kusaidia Mayatima pamoja na KUFUTURISHA katika Mwezi wa Ramadhaan.
Kwa sasa tupo katika Harakati za Kukusanya Sadaqah kwa Ajili ya Futari.
```Tunaweza tukiamua wala hatushimdwi kwa hili linalohitajika ni ushirikiano na wote kuwa na lengo moja```
Na NAMBA ZETU ZA KUPOKEA SADAQA NI
+255742410980 ADAM KHALID (voda)
+255714574722 -ADAM ISSA (tigo)
بارَكَ اللهُ لَكَ في أَهْلِكَ وَمالِكَ.
“Allah akubariki katika familia yako na mali yako”
Toa Sadaqa yako kwa ajili ya Akhera yako Toa chochote kiwe kidogo au kikubwa utakikuta kwa Allah. Tanguliza Mali yako wekeza Mali yako kwa Tajiri wamatajiri ni Allah.
Na Allaah atakulipa
http://bit.ly/2WoniS2 i live islam
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni