Translate

Jumamosi, 18 Mei 2019

Mwanaume Kuswalisha Familia Yake Taraawiyh Nyumbani

SWALI

Je, inajuzu kwa mwanaume kuswali Swalah ya Taraawiyh na familia yake nyumbani?


JIBU

Hakuna ubaya kufanya hivyo, ni bora kama alivyofanya.


[Shaykh Muqbil Bin Haadiy Al-Waadi’y: Fadhwaaih wa Naswaaih, Daarul-Haramayn, Miswr. uk 86]


http://bit.ly/2JMgiLy i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...