Translate

Ijumaa, 3 Mei 2019

Muweza ameswali kwa kukaa kabla ya Rukuu´

Swali: Baadhi ya watu wanaoweza kusimama wanakaa katika Rak´ah ya pili ya Fajr mpaka pale imamu anapokaribia kwenda katika Rukuu´ hapo ndipo wanasimama na kurukuu pamoja naye. Je, swalah zao sahihi?

Jibu: Hapana. Ameacha nguzo ambayo ni ya kusimama. Ni lazima asimame kabla ya Rukuu´ chinichini kwa kiasi angalau cha kusoma al-Faatihah. Akisimama chini ya hapo pasi na udhuru, basi swalah yake si sahihi, kwa sababu ameacha nguzo. Zindukeni juu ya hili.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2VbSx6k
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...