Swali: Je, inajuzu kuyafanyia tarjama majina ya Mitume katika lugha ya kigeni na khaswakhaswa pindi tunapozungumza na makafiri huko magharibi?
Jibu: Majina hayafanyiwi tarjama. Majina hayafanyiwi tarjama. Yanatakiwa kutajwa kama yalivo na haijalishi kitu ni lugha gani.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2yKoS6X
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni