Ilitokea kwamba kunamtu alitaka kumuoa fulani katika uhai wa wazee wake wawili lakin wazee wake wawi
Ilitokea kwamba kunamtu alitaka kumuoa fulani katika uhai wa wazee wake wawili lakin wazee wake wawili wakapinga hawakutaka na yeye akakubali kuwattii,lakin wale wazee baadae walifariki baada ya kufariki mwanamke akakubali kuolewa na huyo mume kwaivyo ndugu zake wamemhasimu wanasema kua ameasi amri za wazee wake je sheria inasema VIP❓
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh YAFUATAYO NI MAJINA YA MASWAHABA WANAWAKE (RADHI ZA ALLAAH...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni