Mume ana wake wawili . kukatokea safari hali yakua mume alikua zamu kwa mke mkubwa . mume akalazimis
Mume ana wake wawili . kukatokea safari hali yakua mume alikua zamu kwa mke mkubwa . mume akalazimisha kua ile safari wende wake wote wawili pamoja.mke mkubwa akakataa akataka aende peke yake kama inavokua zamu ya mke mdogo anakwenda pekeyake. Na pia wakienda safari na mke mdogo huyu mdogo hua anamfanyia vituko vakumumiza mke mkubwa ndo sababu ya mke mkubwa kukataa kwenda pamoja nae. lakini mume ile safari akenda na mke mdogo na sio mkubwa mwenye zamu yake .je hio ni Haqi*❓
View on YouTube
Translate
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
-
Dalili 18 zinazoashiria una ujauzito wa mtoto wa kiume Awali ya yote nitoe pongezi kwa mama K na Baba K wote popote walipo kwa kazi nzuri ...
-
Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh YAFUATAYO NI MAJINA YA MASWAHABA WANAWAKE (RADHI ZA ALLAAH...
-
SWALI: Assalaam alaykum Naomba maana ya majina yeyote tuwapao watoto wetu AU mnielekeze wapi naweza kupata labda katika kitabu cha fas...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni