Translate

Ijumaa, 2 Novemba 2018

Ni ipi hukumu ya kupinga adhabu ya kaburi?

Swali: Ni ipi hukumu ya kupinga adhabu ya kaburi?

Jibu: Ni ukafiri. Mwenye kupinga adhabu ya kaburi amekufuru. Kwa sababu amekadhibisha adhabu ya kaburi iliyotajwa katika Qur-aan na Sunnah.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2JyGx5S
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...