Translate

Alhamisi, 1 Novemba 2018

Je, maamuma wakae kikao cha kupumzika ikiwa imamu hakukaa?

Swali 25: Je, maamuma wakae kikao cha kupumzika[1] (جلسة الاستراحة) ikiwa imamu hakukaa?

Jibu: Maamuma anatakiwa kukaa kikao cha kupumzika ikiwa imamu hakukaa. Ni kama mfano wa kunyanyua mikono katika Takbiyrat-ul-Ihraam, baada ya kuinuka kutoka kwenye Rukuu´ au kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza japokuwa imamu yeye hatonyanyua.

[1] https://ift.tt/2JvG3xt

from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Dgyx9l
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...