Swali 25: Je, maamuma wakae kikao cha kupumzika[1] (جلسة الاستراحة) ikiwa imamu hakukaa?
Jibu: Maamuma anatakiwa kukaa kikao cha kupumzika ikiwa imamu hakukaa. Ni kama mfano wa kunyanyua mikono katika Takbiyrat-ul-Ihraam, baada ya kuinuka kutoka kwenye Rukuu´ au kuinuka kutoka katika Tashahhud ya kwanza japokuwa imamu yeye hatonyanyua.
[1] https://ift.tt/2JvG3xtfrom Firqatu Nnajia https://ift.tt/2Dgyx9l
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni