Translate

Jumatatu, 26 Novemba 2018

Adhkaar na du´aa hazisomwi kwa utaratibu na utungo

Swali: Je, inajuzu kusoma Adhkaar kwa utaratibu na utungo baada ya swalah?

Jibu: Qur-aan ndio inayosomwa kwa utaratibu na utungo. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:

وَرَتِّلِ الْقُرْآنَ تَرْتِيلًا

“Soma Qur-aan kwa kisomo cha utaratibu na utungo.”[1]

Kuhusu du´aa na Adhkaar hazisomwi kwa utaratibu na utungo.

[1] 73:04



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2KyB2Vk
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...