Translate

Jumanne, 23 Aprili 2019

Ametakharuji na kusoma chuo kikuu lakini bado mjinga

Swali: Mtu ambaye ametakharuji katika chuo kikuu cha Kishari´ah anaitwa kuwa ni “mwanachuoni” na ana haki ya kutafiti katika dalili na kufanya Ijtihaad?

Jibu: Kama ana elimu na uwezo, hakuna neno. Ama kusema kwamba ametakharuji peke yake haitoshi. Huenda ametakharuji na hajui chochote.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2ZupXeU
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...