Translate

Ijumaa, 26 Aprili 2019

Anaacha fatwa za wanachuoni

Swali: Mtu mwenye kujua haki kupitia fatwa za wanachuoni wenye kuzingatiwa kisha akaziacha na kuchukua maneno ya watu waliokurupuka juu ya fatwa. Je, anazingatiwa anawafanya waungu?

Jibu: Hapana shaka. Ikiwa anajua kuwa wako makosani na akayafanyia propaganda maneno yao kwa ajili ya lengo fulani ima kwa ajili ya tamaa ya kidunia, kuificha haki au kuwakhalifu wale wanaofuata haki, hapana shaka kwamba amewafanya ni waungu badala ya Allaah.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Dymumo
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...