Translate

Jumapili, 10 Februari 2019

Ni lazima kuwa na utambuzi juu ya shari

Swali: Je, Qur-aan na Sunnah vinatosha ili mtu aijue ´Aqiydah na misingi ya dini pasi na kuhitajia maneno ya wanachuoni?

Jibu: Ni lazima kwa mtu kukusanya kati ya mambo hayo. Unatakiwa kuijua Sunnah na ´Aqiydah sahihi pamoja vilevile na ´Aqiydah mbalimbali ambazo ni batili ili zisikutatize.

Nimejifunza shari

sio kwa sababu naitaka hiyo shari, lakini ili nijiepushe nayo

Yule asiyeijua shari kutokamana na kheri

basi atatumbukia ndani yake



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TLlce0
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...