Swali: Je, Qur-aan na Sunnah vinatosha ili mtu aijue ´Aqiydah na misingi ya dini pasi na kuhitajia maneno ya wanachuoni?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kukusanya kati ya mambo hayo. Unatakiwa kuijua Sunnah na ´Aqiydah sahihi pamoja vilevile na ´Aqiydah mbalimbali ambazo ni batili ili zisikutatize.
Nimejifunza shari
sio kwa sababu naitaka hiyo shari, lakini ili nijiepushe nayo
Yule asiyeijua shari kutokamana na kheri
basi atatumbukia ndani yake
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TLlce0
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni