Swali: Unasemaje juu ya kitabu “Rijaal hawl-ar-Rasuul” cha Khaalid Muhammad Khaalid?
Jibu: Mwandishi haaminiki katika dini. Mtu huyu sio mwaminifu katika dini na wala hana ujuzi wa yaliyo swahiyh n dhaifu. Bali anasahihisha yale anayotaka na kudhoofisha yale asiyoyataka.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UO4v1n
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni