Translate

Jumapili, 10 Februari 2019

Mwandishi sio mwaminifu

Swali: Unasemaje juu ya kitabu “Rijaal hawl-ar-Rasuul” cha Khaalid Muhammad Khaalid?

Jibu: Mwandishi haaminiki katika dini. Mtu huyu sio mwaminifu katika dini na wala hana ujuzi wa yaliyo swahiyh n dhaifu. Bali anasahihisha yale anayotaka na kudhoofisha yale asiyoyataka.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UO4v1n
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...