Translate

Jumapili, 10 Februari 2019

Ni wajibu kumtaliki

Swali: Je, inajuzu kwa mume kumtaliki mke wake ikiwa anapuuza swalah pamoja na kwamba ameshamnasihi mara nyingi juu ya jambo hilo lakini pasi na kufua dafu.

Jibu: Ndio. Ni wajibu kwake kumtaliki. Ni wajibu kwake kufanya hivo. Ikiwa anaacha swalah kwa kukusudia na hatubii, basi ni wajibu kwake kumtaliki, ajitenge naye mbali na amwepuke ili mwanamke huyo asije kuwalea pia watoto wake juu ya hilo.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2BE1rxZ
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...