Swali: Kumtegemea Allaah na kumpenda ni jambo linaingia katika matendo ya moyo au maneno ya moyo?
Jibu: Matendo ya moyo. Kuwa na shauku, woga, kutubia na kutaka msaada ni katika matendo ya moyo.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2WAQupz
via IFTTT
Swali: Kumtegemea Allaah na kumpenda ni jambo linaingia katika matendo ya moyo au maneno ya moyo?
Jibu: Matendo ya moyo. Kuwa na shauku, woga, kutubia na kutaka msaada ni katika matendo ya moyo.
إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! 20 - Isti’aadhah (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni