Translate

Jumamosi, 2 Februari 2019

Haijuzu kuomba du´aa kwenye makaburi

Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kukusudia kwenda kumuomba Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kwenye makaburi ya waja wema?

Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Haijuzu kuomba du´aa wala kuswali kwenye makaburi. Haifai kufanya hivo. Kwa sababu kufanya hivi kunapelekea kuyaabudu makaburi.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2Rz6g0h
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...