Translate

Jumamosi, 2 Februari 2019

Kwenda na mtoto makaburini

Swali: Nikiwa niko pamoja na mtoto wangu wa kiume mdogo na nilikuwa nataka kwenda kuyatembelea makaburi. Je, inafaa kwangu kuingia naye makaburini?

Jibu: Hakuna ubaya. Ikiwa unachelea juu yake na ukaenda naye ili umlinde hakuna neno.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2S6aMc2
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...