Translate

Jumamosi, 2 Februari 2019

Msichana wa kaka amenyonya mara tano kwa mke wangu

Swali: Msichana wa kaka yangu alinyonya kwa mke wangu mara tano. Je, hivi sasa anakuwa haramu kwa watoto wangu?

Jibu: Ndio. Ikiwa alinyonya mara tano kwa kulishika titi kila mara, anapata hukumu ya uharamu wa unyonyaji.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UBNWpr
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...