Swali: Msichana wa kaka yangu alinyonya kwa mke wangu mara tano. Je, hivi sasa anakuwa haramu kwa watoto wangu?
Jibu: Ndio. Ikiwa alinyonya mara tano kwa kulishika titi kila mara, anapata hukumu ya uharamu wa unyonyaji.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UBNWpr
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni