HUKMU YA THAYYIB
Assallaam Aleykum WarahmatulLaah Wabarakatuh
BismiLLaah wa AlhamduliLLaah was-Swalaatu was Salaamu ‘alaa Muhammad wa ‘alaa ‘Aalihi wa Aswhaabihil Kiraam, wa Ba’ad,
Naam Ama maana ya Neno Thayyib ni Mzinifu aliyekwishaoa au kuolewa.
Kwahiyo Thayyib ni yule ambaye ameoa kwa kufunga ndoa ilio sahihi. Huyu ndiye anayeitwa "Thayyib".
Ikishakuwa hivo, mtu hawezi kuwa "Thayyib" kwa sababu tu ya uzinzi, ndoa batili, ndoa ya Mut´ah na mfano wa hizo. Kishari´ah hazingatiwi kuwa ni Thayyib isipokuwa akifunga ndoa ambayo ni sahihi iliotimiza masharti yake.
Mtu Thayyib akizini damu yake inakuwa halali.(Rejea Hukmu ya Uzinifu)
Marejeo :Kitab cha Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, ukurasa wa 228
Na Allaah anajua zaidi
http://bit.ly/2IgN0FJ i live islam
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni