Swali: Nikifanya maasi na nikatubia juu yake pasi na kujutia. Je, tawbah yangu inakubaliwa?
Jibu: Hapana, haikubaliwi. Kwa sababu masharti ya tawbah ni matatu ambapo moja wapo ni kujutia yale yaliyopita.
from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2RDcNI7
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni