Translate

Jumamosi, 3 Novemba 2018

Ndugu anakunywa pombe

Swali: Kuna mmoja katika ndugu zangu anakunywa pombe. Nimemnasihi lakini bado anaendelea kunywa. Ni lipi la wajibu kuhusiana naye?

Jibu: Muepuke na mkate mpaka pale atapotubia kwa Allaah na kuachana na pombe.



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2PAHb8t
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...