Swali: Tunatakiwa kushika msimamo gani juu ya wale wanaowakufurisha watawala wa waislamu wa leo ima kwa jumla au kwa kupambanua? Je, ni katika Khawaarij?
Jibu: Wale wanaowakufurisha watawala wa waislamu ni katika Khawaarij.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TX9LzE
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni