Translate

Jumanne, 19 Februari 2019

Watawala wa waislamu wa leo ni makafiri?

Swali: Tunatakiwa kushika msimamo gani juu ya wale wanaowakufurisha watawala wa waislamu wa leo ima kwa jumla au kwa kupambanua? Je, ni katika Khawaarij?

Jibu: Wale wanaowakufurisha watawala wa waislamu ni katika Khawaarij.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TX9LzE
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...