Translate

Jumatatu, 18 Februari 2019

Vitabu Muhimu Sana kwa Mwanamke

Swali

Ni vitabu vipi ambavyo unamnasihi mwanamke wa Kiislamu kuwa nayo?

Jibu

Naam Ama kwa Mwanamke  Vitabu tunavyomnasihi kuwa navyo ni kama; “Riyaadh-us-Swaalihiyn”, “Fath al-Majiyd” ambacho ni Sharh Kitaab-ut-Tawhiyd, “al-Lu-ul wal-Marjaan” na “Buluugh-ul-Maraam”.

Hivi ni kwa mwanamke ambaye anaweza kusoma na kuandika.

Ni vitabu ambavyo ni mukhtaswari.

Hali kadhalika kitabu cha ndugu yetu Muhammad “al-Qawl al-Mufiyd”.

Ama kwa mwanamke mwenye uwezo wa kufanya utafiti na uhak-ikisho, inatakikana kwake kuwa na Maktabah kubwa kadiri na atakavyoweza.

Na Allaah anajua zaidi



http://bit.ly/2XaCxyT i live islam

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...