Swali: Mwenye kuwakufurisha watawala na anawataka waislamu wawafanyie uasi watawala ni katika Khawaarij?
Jibu: Haya ndio madhehebu ya Khawaarij. Kama anaona kufaa kufanya uasi dhidi ya watawala wa waislamu, na baya zaidi akawakufurisha, haya ndio madhehebu ya Khawaarij.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UYXLho
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni