Translate

Jumatatu, 18 Februari 2019

Ni mfumo wa Khawaarij II

Swali: Mwenye kuwakufurisha watawala na anawataka waislamu wawafanyie uasi watawala ni katika Khawaarij?

Jibu: Haya ndio madhehebu ya Khawaarij. Kama anaona kufaa kufanya uasi dhidi ya watawala wa waislamu, na baya zaidi akawakufurisha, haya ndio madhehebu ya Khawaarij.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UYXLho
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...