Swali: Je, ni wajibu kuhajiri kutoka katika miji iliyofunguliwa na waislamu hapo zamani kisha baadaye ikarudi kwa makafiri?
Jibu: Ndio, ni mamoja nchi msingi wake ilikuwa ya makafiri tokea mwanzo au imegeuka kuwa nchi ya kikafiri huko baadaye. Kinachozingatiwa ni kwamba ni nchi ya kikafiri.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UXCtkb
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni