Translate

Ijumaa, 15 Februari 2019

Midhali ni nchi ya kikafiri

Swali: Je, ni wajibu kuhajiri kutoka katika miji iliyofunguliwa na waislamu hapo zamani kisha baadaye ikarudi kwa makafiri?

Jibu: Ndio, ni mamoja nchi msingi wake ilikuwa ya makafiri tokea mwanzo au imegeuka kuwa nchi ya kikafiri huko baadaye. Kinachozingatiwa ni kwamba ni nchi ya kikafiri.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UXCtkb
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...