Wanatambua kwamba nchi ya mayahudi (دولة اليهود), na si kwamba ni “Israaiyl”… Ni wajibu mtahadhari. Haijuzu kuwashaji´isha mayahudi kuita nchi yao “Israaiyl”. Kuiita kwa neno lingine mbali na “mayahudi” kunasababisha mapambano ya waislamu dhidi ya mayahudi kwenda matupu. Hii ni siasa ya vyombo vya khabari. Wangereza ndio walikuwa wa mwanzo kuwawezesha mayahudi kuasisi nchi. Baada ya hapo Marekani.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2DCi9xy
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni