Translate

Jumatano, 20 Februari 2019

Kuwapa zakaah ndugu mafakiri

Swali: Inajuzu kumpa zakaah ndugu fakiri ambaye mshahara wake uko chini ya mshahara wangu?

Jibu: Ikiwa ndugu huyu fakiri mshahara wake haumtoshelezi juu ya familia yake, basi hakuna neno kumpa zakaah yako. Bali kuwapa zakaah ndugu ambao wanastahiki ambao mtu hawajibiki kuwahudumia ndio bora kuliko kuwapa watu wa mbali. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Swadaqah yako kuwapa ndugu inahesabika ni swadaqah na kuunga udugu.”



from Firqatu Nnajia https://ift.tt/2EkVkjD
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...