Swali
Inajuzu kumwita Shaykh kwa kuachia jina ´maulama`?
Jibu
Haifai.
Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu asiseme ´Ee maulana wangu fulani`. Allaah ndiye maulana Wenu.” Muslim (2249).
Vinginevyo mtumwa ni mwenye kumilikiwa. Lakini hata hivyo kwa mtumwa ambaye anamilikiwia ni sawa akasema “bwana wangu” na “maulana wangu.”
MAREJEO
Rejea Kitab Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26-27
Na Allaah anajua zaidi
http://bit.ly/2SUV4A4 i live islam
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni