Translate

Jumamosi, 16 Februari 2019

Hivi ndivo tofauti inatakiwa kufanyiwa kazi

Swali: Lau tutakuwepo katika nchi ambayo wanachuoni wake wanaona kuwa yule mwenye kuacha swalah sio kafiri. Mwenye kuacha swalah akifa katika nchi hii watu wanatakiwa kuacha kumuosha na kumswalia swalah ya jeneza?

Jibu: Yule ambaye anaona kuwa ni kafiri basi asimswalie. Yule asiyeonelea hivo amswalie. Hivi ndivo masuala ya tofauti yanatakiwa kufanyiwa kazi.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UW4Hf4
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...