Translate

Ijumaa, 15 Februari 2019

ar-Raajihiy kumuadhinia na kumkimia mtoto mchanga

Swali: Adhaana sikioni mwa mtoto imesihi? Ni Sunnah?

Jibu: Ndio. Ni kitendo kimekuja katika baadhi ya Hadiyth. Lakini katika cheni za wapokezi wake kuna kitu. Amezitaja Ibn-ul-Qayyim katika “Tuhfat-ul-Waduud fiy Ahkaam-il-Uluud”. Kwa hiyo hakuna neno akiadhiniwa na akakimiwa sikioni mwake.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2IeedJ2
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...