Translate

Jumamosi, 2 Februari 2019

Kuswali juu ya mkeka Bid´ah? II

Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali juu ya mkeka/msala wenye marembo? Je, ni Bid´ah?

Jibu: Hapana, imechukizwa tu. Kwa sababu unamshawishi mtu na swalah yake. Bora ni yeye kuswali kwenye mkeka/msala wa kawaida usiokuwa na marembo ili usimshawishi yeye na swalah. Vilevile mtu anaweza kuswali juu ya ardhi safi. Ama kuhusu mikeka/misala iliyo na marembo inaweza kumshawishi mwenye kuswali. Kwa hiyo kuiacha ni bora zaidi.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TzKsU4
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...