Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali juu ya mkeka/msala wenye marembo? Je, ni Bid´ah?
Jibu: Hapana, imechukizwa tu. Kwa sababu unamshawishi mtu na swalah yake. Bora ni yeye kuswali kwenye mkeka/msala wa kawaida usiokuwa na marembo ili usimshawishi yeye na swalah. Vilevile mtu anaweza kuswali juu ya ardhi safi. Ama kuhusu mikeka/misala iliyo na marembo inaweza kumshawishi mwenye kuswali. Kwa hiyo kuiacha ni bora zaidi.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2TzKsU4
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni