Translate

Jumanne, 19 Februari 2019

Imaam Ibn Al-Qayyim: Anayeufungamanisha Moyo Wake Katika Yaliyoharamishwa Atakuwa Mateka Katika Kiza Cha Matamanio

Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)


Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:

“Atakayeufungamanisha moyo wake katika yaliyoharamishwa, atakuwa mateka katika kiza cha matamanio.”


Na amesema pia: 

“Moyo uliofungamana katika haramu, kila unapotilia hima kuachana nayo, ili utoke humo, (hujikuta) hurejea humo (kwenye haramu).”


[Rawdhwah Al-Muhibbiyn (597]


from Uislamu Wangu http://bit.ly/2NiaGsg
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...