Translate

Jumapili, 21 Aprili 2019

Wanafunzi wanaoeneza fatwa zisizotambulika

Swali:  Baadhi ya wanafunzi wanaeneza maoni ambayo hayakutangaa zinazohusiana na hukumu moja wapo ya Kishari´ah. Je, ni sahihi?

Jibu: Hapana, si sahihi. Watu kama hawa wanapata dhambi kubwa. Kwa sababu wanafuata fatwa zao na maneno yao. Mtu hatakiwi kuzungumza isipokuwa kwa elimu sahihi. Asiyekuwa na uwezo hatakiwi kuzungumza juu ya mambo ya kielimu.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2GoKokV
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...