Translate

Jumapili, 21 Aprili 2019

Mtu wa kawaida anaomba dalili

Swali: Kuna maulamaa wanaosema kwamba kama una uaminifu na mwanachuoni na ukamuomba fatwa, basi sio katika adabu kumuomba dalili pale anapokujibu midhali umemwamini. Je, maneno haya ni sahihi?

Jibu: Ndio. Mtu asiyekuwa msomi hahitajii kuomba dalili. Kwani huyu ni mtu wa kawaida. Hata hivyo mwanachuoni ndiye anaweza kuomba dalili.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2UNahoz
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...