Swali: Kunasemwa kwamba fatwa zinatofautiana kwa kutofautiana kwa wakati na mahali. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Fatwa hazitofautiani. Fatwa zimejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah, katika kila wakati na mahali. Wakati na mahali hakuzibadilishi fatwa.
from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2KTBBNd
via IFTTT
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni