Translate

Jumapili, 21 Aprili 2019

Wakati na mahali hakuzibadilishi fatwa

Swali: Kunasemwa kwamba fatwa zinatofautiana kwa kutofautiana kwa wakati na mahali. Je, ni sahihi?

Jibu: Hapana. Fatwa hazitofautiani. Fatwa zimejengeka juu ya Qur-aan na Sunnah, katika kila wakati na mahali. Wakati na mahali hakuzibadilishi fatwa.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2KTBBNd
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...