Translate

Ijumaa, 28 Desemba 2018

Anapata dhambi mwenye kutupa kitu kilicho na utajo wa Allaah kwenye taka?

Swali: Je, mtu anapata dhambi akitupa kitu kwenye taka kilicho na utajo wa Allaah pamoja na kuzingatia kwamba hakufanya hivo kwa dharau?

Jibu: Ndio. Ikiwa karatasi hiyo iko na utajo wa Allaah akichome au akizike chini ya udongo au mchanga ulio msafi.



from Firqatu Nnajia http://bit.ly/2LEzKIN
via IFTTT

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

20-Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno! - Isti’aadhah Kwa Asiyekuwa Allaah

  إِنَّ الشِّرْكَ لَظُلْمٌ عَظِيم   Hakika Shirki Ni Dhulma Kubwa Mno!   20 - Isti’aadhah  (Kuomba Kinga) Kwa Asiyekuwa Allaah   ...